Watuhumiwa
wawili Zuberi Thabiti (30) na Iddy Adamu (32) wanaodaiwa kushirikiana
kufanikisha tukio la kumbaka na kumdhalilisha binti wa miaka 21, mkulima
(jina limehifadhiwa), mkazi wa Kata ya Dakawa, wilayani Mvomero, mkoani
Morogoro, wamekamatwa na kohojiwa na jeshi la polisi mkoani humo.